Jumanne, 29 Julai 2014

NEEMA YA MUNGU NA HURUMA ZAKE KWETU

TANGU ADAMU WA KWANZA HATA ADAMU WA SASA :
WAMEJENGWA NA KUTO JARI;HATA KUYAPUUZA MAAGIZO,AMRI NA MASHAULI:



           Nikweli kuwa kibuli na dhalau pamoja na kutojali kunafanya binadamu kujengeka na kiburi
mfano: kutojari mtuanapoambiwa jambo anasema nita tenda,afu anakamatwa na uvivu furani na                        anajikuta hajatenda
           sio yeye ni vile amekubari afu hajachukuwa hatua, na shetani hutumia nafasi hiyohiyo                          kuwakosanisha
             
mfano: MUNGU alipomwambia ADAMU mitiyoote matunda yake waweza kula lakini huu tuu usile                    hakika siku utakayo kula utakufa,
           shetani alipo isikia ile HAKIKA akaifanyia kazi
MUNGU anaposema jambo huwa amelidhibitisha ni kweli halitokengeuka wala kubadilika
 Angalia HAKIKA aliyosimamia:
MWA 3:5
       Kwamaana MUNGU anajua ya kwamba siku ile mtakayo kula matunda ya mti huo,mtafungliwa macho,nanyi mtakuwa kama MUNGU,mkijua mema na mabaya.
hii ndiyo HAKIKA aliyosimamia shetani


EBU jiulize shetani baada ya kutenda dhambi pamoja na ADAMU wa kale, hadi leo anatumikia hadhbu aliyo adhibiwa, anakwenda kwa tumbo,anakula mavumbi pia
Lakini mwanadamu anataka kulahisisha hadhabu ya MUNGU

mfano
         mwanaume aliambiwa atakula kwa jasho lakini kwa mwanaume inakuwa ni ngumu
yeye anataka apate vya lahisi lahisi visivyo mtoa jasho sawa, anafanikiwa lakini baraka za MUNGU hazipo hapo wala mkono wa MUNGU haupo hapo mwanzo 3:17

mwanamke yeye aliambiwa utazaa kwa uchungu,lakini leo wanamama wengi wanapo taka kujifungua anaenda kwa waganga ili ajifungue salaama wengine hudiliki kwenda kwao katika mizimu kuiomba imsaidie aliisha sahau kuwa kuzaa kwa uchungu ni agizo la MUNGU

Jambo lingine ni vyakula hapo sasa ndipo tumekengeuka kabisa
MWA 3:17
               Akamwambia adamu,kwakuwa umeisikiliza sauti ya mke wako,ukala matunda ya mti ambao nilikuagiza,nikisema Usile:ardhi imelaaniwa kwa ajili yako:kwa uchungu utakula mazao yake siku zote za maisha yako ;michongoma na miiba itakuzalia,nawe utakula mboga za kondeni; kwa jasho la uso wako utakula chakula,hata utakapo irudia ardhi,ambayo katika hiyo ulitwaliwa;kwa maana u mavumbi wewe,,nawemavumbini utakwenda

hili ni agizo kijana wa leo wao ni kijiweni halijui agizo, lakini pamoja na agizo hili mwanadamo wa leo kaachia nafasi na shetani akaitumia nafasi hiyo pamoja na mawazo yetu na tunakuta tuna fanya jambo sikuzote halimpi MUNGU utukufu

jambo lingine ni mitandao ya kijamii ivi kweli kama kweli kwa haya yanayo fanyika leo MUNGU je ana tufikiliaje? je? hilo ndilo agizo,tusidanganyike na neema iliyoko mbele yetu

hakuna kujificha kwa matendo yako,kuna wengi wanasema nimeokoka nampenda YESU lakini haendani na maneno hayo ,nataka nikuambie rafiki yangu utamficha mwanadamu lakini kwa MINGU uko uchi afadhari na ulipo zaliwa ulisitiliwa,kwa MUNGU uko uchi
 MITHARI 20:27
                    Pumzi ya mwanadamu ni  taa ya BWANA,
                     Hupeleka yote yaliyomo ndani yake
Lolote unalo waza ndg yangu,taarifa inaenda
liwa jema au baya hakuna siri kwa MUNGU  
MUNGU wangu wa mbinguni na akubariki sana 

Mwinjilist  Johannes R Mnico
0712565676
PGMM church
VINGUNGUTI 
D,Salaam 
                                                           Askof, BARNABAS I KIMBE
                                                                     0754395344/0653395344
                                                                      PGMM Chur chu 
                                                       PENTEKOST GOSPEL MISSION &MINISTERS

Maoni 1 :

  1. What is Baccarat? | Online Strategy Tips & Strategies for Beginners
    Baccarat has the basic rules of choegocasino betting: you place 바카라 사이트 your bets on the dealer's left. This means that if you win 1xbet a bet, you win the bet as soon as you

    JibuFuta